Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mfuko wa Udhamini wa Pembejeo za Kilimo

AGITF Logo
TUMEHAMA
30 Jun, 2024
TUMEHAMA

Uongozi wa Mfuko wa Pembejeo unawatangazia wateja wake na wadau kuwa Ofisi zake zimehama kutoka Area D, Mtaa wa Mtawa na kuhamia Mji wa Serikali-Mtumba.